]Wana Lakezone voice collection ni muungano wa Waimbaji wa nyimbo za Injili wa kanda ya ziwa ulianyishwa Juni 5 mwaka 2010 ambapo mpaka una zaidi ya vikundi 13 vya uimbaji. Mwenyekiti ni Emmy Lema, Katibu ni Bahati Kihayile, mweka hazina ni Revocatus Bandiko,kiongozi wa Maombi ni Lidyia Masasi kiongozi wa nidhamu ni Pasta Victor Mlahagwa, pia kuna wajumbe kama mwinjilisti Happiness Ndyamukama, pendo Kihayile, Julieth Mtebe, Macho Makavu, paul shole, Sis Vanesa, Agness Nkugwe, Martha Ramadhani na wengine wengi. Wewe uliyeokoka mwimbaji unakaribishwa, wana Umoja wako tayari kutumika mahali popote ndani na nje ya Mwanza watakapokaribishwa na Mchungaji yeyote bila kujali dhehebu kwa gharama zao.mbarikiwe
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI



No comments: